Recent content by Evidence Muhimu

  1. E

    JamiiForums Tanzania Mbwana Ally Sammata, nimekudharau na sito kuheshimu, una roho mbaya na ni mnafiki we jamaaa, sijapata kuona

    Aliandika pray for Tanzania IG story yeye pamoja na Msuva. Lakini naamini ilikuwa haitoshi angefanya zaidi ya hapo.
  2. E

    JamiiForums Tanzania Utapeli wa St Joseph University College of Health and Allied sciences tawi la Boko

    Ndio, Ile ni main campus. Jumla kuna college tatu, education and engineering viko luguruni Afya kipo Boko
  3. E

    JamiiForums Tanzania Utapeli wa St Joseph University College of Health and Allied sciences tawi la Boko

    Tunaenda kusoma, kwako wewe vyuo ni vipi ndugu??
  4. E

    JamiiForums Tanzania Utapeli wa St Joseph University College of Health and Allied sciences tawi la Boko

    Tumekuwa tukifanyia clinical rotation muhimbili, temeke na mwananyamala. Ila wanatuhamisha kutupeleka Tanga( Bombo), ila huko pia ni wanaenda kukudump utakujua mwenyewe unaishije kikubwa ufike hospitalini ilhali dar mtu ashajiestablish tayari maana chuo hata hostel hakina
  5. E

    JamiiForums Tanzania Utapeli wa St Joseph University College of Health and Allied sciences tawi la Boko

    Hapana maximum unayoweza kupata kama ada ni 3.1m na hii ni wachache wanayo.
  6. E

    JamiiForums Tanzania Utapeli wa St Joseph University College of Health and Allied sciences tawi la Boko

    Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili (MD 2) St. Joseph university tawi la Boko. Hivi karibuni chuo kimeongeza 1.25m hela hiyo ikipewa jina la "CLINICAL ROTATION FEE" tofauti na ada ya 5.9m tunayoilipa. Tumekuwa na vikao vingi na uongozi wa chuo tukihoji uhalali wa hio pesa ila chuo kimekuwa...
  7. E

    JamiiForums Tanzania Ndoto ukifanya mapenzi na mtu UNAYEMJUA, Tafsiri yake

    Nipo kwenye comments. Nipate elimu kidogo
Back
Top Bottom