Recent content by EVER JORII

  1. E

    Je, ni kweli kwamba wanawake weupe ni wazuri sana kuliko weusi?

    hahaha black is beaty but not attractive
  2. E

    Je, ni kweli kwamba wanawake weupe ni wazuri sana kuliko weusi?

    Hivi jamani kuna ukweli wowote kwamba wanawake weupe ni wazuri sana kuliko weusi maana marafiki zangu wanabisha sana kuhusu hilo na je ni kwanini mwanamke mweupe anaangaliwa sana barabarani kuliko mweusi wakiwa wameongozana.
  3. E

    Nashindwa kumuelewa mpenzi wangu

    kukaa kimya hakutanisaidia kwani nazidi kua na mawazo zaidi
  4. E

    Nashindwa kumuelewa mpenzi wangu

    Habarini jamani mwenzenu nina mpenzi wangu ninampenda sana ila sasa hivi nashindwa kumwelewa kwani amebadilika sana upande wa mawasiliano amekuwa hanitafuti mara nyingi nikimtafuta hapokei simu nikituma msg hajibu kwa wakati nikimuuliza ana shida gani anasema yupo busy, nikimuuliza ananipenda...
Back
Top Bottom