Alipo maliza mafunzo ya JKT mujibu wa sheria akaajiriwa ofisi ya Rais???? Aaaah mkisifia Sana mnachamba.. dhumuni Lenu limehaeibika , mkajipange Tena...
Kiukweli hoja ya miaka 7 kila term isitishwe, maana itamfanya akae miaka 14 tu katika terms mbili. Hii itatusaidia dhamira yetu ya kuhakikisha anaongoza miaka 10 , then tutabadili katiba katika presidential terms ili atuongoze miaka 10 mingine, na hilo halina ubishi. Utake usitake jamaa Hadi...
Heshima ya zitto katika ujenzi Wa hoja, unaporomoka kwa kasi. Anachokifanya sahizi nikuonekana mpinzani Wa vyombo vya dola, ninafikiri IGP nyundo yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.