Kama mnafundishwa elimu akhera alafu waenda kusit for elimu dunia utafaulu kweli?? Kwani hao waislamu wachache wanaofaulu huwa wanaandika majina ya wakristu ndio wanafaulishwa? Acheni kujishusha nyie mnaanza kuwaza nani kamishna wa elimu ni dini gani kama waislamu hawana vigezo wapewe tu...
Mtaala ni jumla ya mambo yote yanayofanywa na mwl na mwanafunz nje na ndani ya darasa sasa ukisubiri wazir akabebe mambo yote anayotakiwa kuyafanya mwl na mwanafunz ndani na nje ya darasa utakaa sana
Nawashangaaa sana watz wanaosubiri mh waziri aubebe mtaala aupeleke bungeni...hii inaonesha hawafahamu maana ya mtaala ila kilichopo ni kudandia hoja tuu jaribu kuuliza nini maana ya mtaala kabla ya kukoment chochote....no risech no right to spik
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.