Umeambiwa Makonda anatuhumiwa kwa kupinga ushoga? Mbona Museven alitunga sheeia kabisa ya kuzuia ushoga na hakupigwa ban? soma vzr waraka wa Pompeo mkuu, acha kuwasikiliza Vichaa wa CCM
acha kujitoa ufahamu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwandishi unaonekana wewe umetoka facebook, umehamia JF hauna hata miaka mi5, ule siyo uamuzi wa Pompeo, ni uamuzi wa USA
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.