"Ni kweli Dick Mulungu tulisoma wote Songea Boys. Lakini hili jina la Mulungu ni jina letu la ukoo. Babu yangu alikuwa akiitwa Filipo Milambo Mulungu, kwa hiyo niliendelea kulitumia hivyo hivyo na hata jina la Mulugo ni letu pia," alisema.
Aidha, ameeleza kuwa "Jina la Hamim ni la nyumbani...
A miserable failure!!! It is very sad having to conclude that she is not a Woman of Substance!!! And it is women like her who set an unbecoming precedent, and all women get stereotyped just because of one woman's selfish motives and lack of integrity and honesty. What an utter disgrace!!! The...
Asante kwa ushauri JF Senior Expert Member Wingu.. Hivi kuwajibika kwa nchi yako kwa manufaa ya walio wengi ndiyo njia ya kujitoa kwenye umasikini?? Tuna mitazamo tofauti.. Sasa naelewa kwa nini Uongozi sio Utumishi tena! Ila ukombozi unakuja, ninayo ndoto!
Ndugu wana JF, mnakumbuka kamanda Esther Wasira alipojiunga CHADEMA alikuwa ameambatana na dada yake Lilian Wasira ambaye aliongea kwa ujasiri mkubwa. Tangia wakati huo kamanda Lilian hajaonekana tena. Nili take trouble kumtafuta na nikagundua ni mwana JF.
Kwa ufupi anasema amepania kuipigania...
W. J. Malecela, Habari ya leo, Pole sana na hongera kwa majukumu ya "Ujenzi wa Taifa"..
Mimi ni mtu ninayeheshimu sana mawazo binafsi ya watu na huwa sijibu watu hovyo au bila ya kufikiria kwanza; kwahiyo chukua jibu langu/maoni yangu haya, very seriously,maana hii ni "Calculated Response"...
Ile thread ilifungwa mapema kabla sikutumia nafasi yangu ya kipekee uliyonipatia AshaDii..ila ili maoni yangu yasiende bure na ukizingatia subject matter bado ni Mh. Zitto Kabwe, basi naamini naweza kutumia hata uzi huu.. so, i will simply copy and paste my views.."AshaDii, asante kwa fursa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.