I salute you Marandu. Mimi nashauri ubaki huko huko uliko. Usije huku TZ kipindi hiki hadi hadi hapo upinzani watakapo chukua madaraka ya hii nchi. Kwani ninaamini watu wasiojulikana wana kutamani sana. Nakusihi sana utumie media zingine pia ambazo Watanzania wengi zaidi wataweza kufikiwa na...
Tuliambiwa kuwa Mh. Lissu alipigwa risasi katika eneo wanaloishi viongozi yaani wabunge, mawaziri na naibu Spika. Je wakati risasi zaidi ya30 zikipigwa walinzi wa eneo hilo la viongozi pale area D Dodoma hawakusikia milio ya risasi? Na kama walisikia walichukua hatua gani? Mimi nashauri tupate...
Hongera sana mkuu kwa uchambuzi yakinifu. Maandiko matakatifu yanasema mwenye haki Mungu anamstawisha kama mtende. Hivyo tutarajie kuona CHADEMA kikiendelea kustawi siku hadi siku kwa kuwa ni chama kinachopigania haki kinyume na CCM.
Nimepigiwa simu na jamaa nimepewa taarifa hizi. Niko mbali na eneo la tukio mkuu. Ndio sababu nimeomba kama kuna mwenye taarifa za uhakika juu ya jambo hili humu ndani atujuze
Taarifa ambazo hazijathibitishwa zinasema wanachama wa Chadema waliojitokeza leo asubuhi Temeke hospitali kwa lengo la kuchangia damu wamekamatwa na polisi. Mwenye taarifa zaidi juu ya tukio hili naomba atujuze. Naomba kuwasilisha.
======
Wakati huo huo Jeshi la Polisi Wilaya ya Temeke...
Ni heri wachawi kuliko watu wasiojulikana. Kama albadili itaweza kuwamaliza watu wasiojulikana ni vema hii kitu ifanyike tena haraka. Watu wasiojulikana ni miongoni mwa watu wanaopinga albadili isisomwe. Wasipewe nafasi
Waliotajwa tajwa kwenye repoti za Almasi na Tanzanite walitakiwa wajiwajibishe. Na wanaotajwatajwa kuhusika na tukio la Tundu Lissu nao waanze kuwajibika. Ili wapishe uchunguzi
Slaa agombee kwa tiketi ya ccm kwani yeyeni mwana ccm. TL ndio Chadema halisi na hamuwezi kumuua kama ambavyo mmeshindwa, aibu juu yenu. Mungu ndiye mwenye maamuzi ya mwisho juu ya uhai wa mtu sio ccm. Labda niwakubushe au kuwajulisha ambao hawajui maandiko matakatifu yanasema "Mtu anayetenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.