Recent content by Esokoni

  1. Esokoni

    Tujadili kuhusu online EFD (VFD)

    Karibu sana mkuu
  2. Esokoni

    INAUZWA Vefd kutoa risiti kwa simu zinapatikana hapa

    Ni soko huria mkuu unaweza kucheki na Hao, Hata sisi tunawajua na pia zipo zingine unapata Bure mkuu unanunua printer tu safi.
  3. Esokoni

    INAUZWA Vefd kutoa risiti kwa simu zinapatikana hapa

    PUNGUZO LA BEI. Tunapenda kukujulisha kuwa katika kufunga mwaka, sasa utapata VFD kwa 250,000 tu. VFD ni mashine ndogo inayokuwezesha kutoa risti halali za EFD kwa kutumia simu yako ya mkononi popote pale ulipo. Faida zake. Znakubalika 100% na TRA. Zinatoa risiti za VAT na zisizo VAT. Zinafaa...
  4. Esokoni

    Tujadili kuhusu online EFD (VFD)

    Karibu sana mkuu, kwa maelezo nichek PM
  5. Esokoni

    Tujadili kuhusu online EFD (VFD)

    Kwa wale wanaohitaji mashine za VFD au maelezo binafsi karibu sana PM,
  6. Esokoni

    Tujadili kuhusu online EFD (VFD)

    TRA yeye anahusika na mapato kodi, umeingiza shiling ngapi unatakiwa ulipie shiling ngapi umeingiza kwa kufanya biashara gani hiyo ni ishu nyingine ambayo iko chini ya haashauri ambayo inakupa kibali au Leseni ya kufanya biashara fulani ila wanashirikiana. Halmashari ndio watakuuliza...
  7. Esokoni

    Tujadili kuhusu online EFD (VFD)

    Nadhani Kuna software za kuedit ila ukiscan QR CODE ndio utaona vzuri
  8. Esokoni

    Tujadili kuhusu online EFD (VFD)

    Leseni haiusiki huku TRA Boss.
  9. Esokoni

    Tujadili kuhusu online EFD (VFD)

    Yes ila 250,000 hiyo ni complete na printer yake Kuna wale wengine wateja wao sio mpaka uwapatie risiti ya karatasi yaan unweza kuwatumia kwenye simu hiyo hauhitaji printer ni system peke yake ambapo bei yake ni 150,000 tu.
  10. Esokoni

    Tujadili kuhusu online EFD (VFD)

    Bei kwa sasa ni 250,000 hii ni Ile ambayo hautaambiwa baada ya mwezi ulipie au limit yoyote katika utumiaji. Mahitaji ni kuwa na TIN ya biashara na Kitambulisho cha mkurugenzi au chako mwenye TIN. Mhimu: Uwe unefanya makadilio hii itarahisha sana ndani ya siku moja unaweza kufanikisha kuwa na...
  11. Esokoni

    Tujadili kuhusu online EFD (VFD)

    Good pia naona watanzania wameipokea vzuri sana na tangu nianze kuiuza imesaidia watu wengi hasa upande wa gharama na kufuatilia taarifa za mauzo yao.
  12. Esokoni

    Tujadili kuhusu online EFD (VFD)

    Ndio zinakuwa connected na TRA na kwa sasa TRA Watahitaji kujiridhisha kama kweli wewe ni muhusika, Iko hivi. Kipindi cha nyuma tulikuwa tunafanya wenyewe kila kitu mwanzo mwisho yaan unatupatia TIN na kitambulisho kiash tunakuletea mashine ikiwa tayari, ila Kuna watu wakawa wanatumia...
  13. Esokoni

    Tujadili kuhusu online EFD (VFD)

    VFD ni mfumo au App ambayo inakuwezesha kutoa risiti za EFD kwa kutumia simu yako ya mkononi system hii inakuwezesha kutoa risiti ya softcopy na Hardcopy, kwa Hardcopy unatumia mashine ndogo Thermal printer ambayo unaiunganisha na simu kwa kutumia bluetooth na USB kwenye PC. Sasa kila kitu uwa...
  14. Esokoni

    Taarifa njema kwa mfanyabiashara juu ya vefd

    Yes lazima upate hela mkuu, kuendesha system ambayo angalau ina watumia 10,000 na angalau 1000 wako active kila wakati na system isizidiwe sio rahisi mkuu.
  15. Esokoni

    Taarifa njema kwa mfanyabiashara juu ya vefd

    Karibu sana mkuu siku nyingine 0753688348.
Back
Top Bottom