Mimi ni mfugaji mdogo kitu kinacho niumiza ni aina gani ya chakula natakiwa niwapatie vifaranga.
*naitaji kufahamu magonjwa ya Kuku na dawa ambazo natakiwa niwapatie vifaranga
*vifaranga vinakuwa kama vimevaa koti den vinakufa he huu ni UGONJWA GANI.?
*napia napenda kujua kama...
Jinsi ya kuandaa viota vya kuku
Kuku anapotagia porini, mayai huliwa na wanyama kama vile nyoka na wengineo. Kuku pia anaweza kudhuriwa na wanyama hao na wakati mwingine kuibwa.
Viota ni mahali ambapo kuku hutaga mayai, kuhatamia na kuangua vifaranga. Hii inamaanisha kuwa viota ni sehemu muhimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.