Wakuu naomba kueleweshwa juu ya hili lililotolewa na wizara ya afya 2014/2015 mbona sijaona nafasi ya clinical officer au mwaka huu hakuna nafasi hizo naomba wakuu mnieleweshe
wakubwa naomba kuuliza nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na nimepata div 3 ya 30 naweza kupangiwa shule form 5
english B
kiswahili C
history D
physics D
chemistry D
biology C
mathematics E
geography D
civics C
na piah kama nikikosa nafasi advance naweza kusomea clinical officer
Wakuu me nimepata biology C chemistry D physics D english B na math E nimemaliza mwaka jana naomba kuuliza naweza kusomea clinical officer na michakato ya kupata chuo naanzaje naomba msaada wenu
Wakuu me nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na nimepata
Biology C
Chemistry D
Physics D
Kw naweza kutuma maombi ya kusomea clinical officer na nitaombaje nafasi naomba mnisaidie
wakubwa me ni kijana nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nimepata division three ya point 30 naomba kujibiwa kuwa naweza kupata chuo cha serikali kujiunga na kozi ya clinical officer nimepata
biology C
chemistry D
physics D
maths E
English B
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.