ulitakiwa uulize sababu na siyo kusema eti haina faida, kama umeenda shule utakubaliana nami kuwa waalimu huwa wanasema always hakuna swali lisilo la maana, hence hata hili lilikuwa na maana na faida kwa aliyeuliza.
siyo kila ambacho hakina faida kwako basi na wengine kama wewe, hujui kwamba kwa mwingine sumu ila kwa mwingine dawa, jifunze kuandika kiustarabu. am out
hasante sana kaka kwa ushauri, yaani kwa hizi siku mbili sikuongelea lolote kuhusu hayo mambo na naona mara naoshwa miguu mara aniulize kama nataka scrub ya uso, ila ukweli bado moyoni naumia na nataka kujua ukweli
napenda kujua tu then nitapata maamuzi baada ya kujua ila mstari nimeshacheki na hana na nimekwenda kucheki hospital hana mimba ila ninachotaka kujua je alitoa kwani yeye anadai hakuwai kutana na mtu yeyote
Natumai mko wazima wote, jamani hapa kidogo nimetatizwa jinsi ya kujua kama mpenzi wangu ametoa mimba wiki tatu zilizopita kwani jinsi anavyo behave kidogo simuelewi na utaalamu huo wa kujua kama ametoa ama la sina je nitajuaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.