Paulo. Trust me watu wengi huwa tunaingia kwenye ndoa tukiwa na positive mindset kwa maana yakwamba hatufikilii tunaweza achana tena wakati Wa ndoa huwa tunaapa kufa nakuzikana lakin badae upepo huwa unabadilika na unashangaa unaomba expired date ya ndoa haraka iwezekanyo. Kwa mantik hiyo basi...
Haya sawa pata Picha Leo mtoto kabadilishwa jina baada ya Mwaka likatokea lakutokea jamaa akatangulia Mbele za Khaki(hatuombei iwe) then mama kabaki baada ya Mwaka tena mama akapata bahati ya jamaa mwingine anataka kumuoa nae with the same conditions za kubadili jina, Sawa sasa huyu Dada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.