Recent content by Escotty

  1. E

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Startime mna tatizo ghani mbona mlikuwa Bora na Sasa huduma dhaifu mfano mimi nipo Moro Leo ni siku ya Tano Toka nimelipia huduma zenu sipati Chanel ya Aljazira,AMC movie,E.ENG,,NGW E,CGTN DOC,ST SPORTT PREMIUM,ESPN,ESPN2,CGTN,BBC WORLD,TRACE MZIKI Chanel zingine zipo mara hupati tatizo ni kitu...
  2. E

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Mimi Nina kingamuzi Cha antenna nimelipia lakini muda huu sipati ESPN zote, channel ten plus napata msg kuwa ni recharge vipi?sijawaelewa
  3. E

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Hongera sana kwa maboresho Big up ila nimehuzunika mbona Chanel ya ID mmeitowa/futa startimes?????
  4. E

    Tido Mhando wa Azam Tv nakuomba Idi Pili ukiwa na Rais Samia Live Saa 4 Asubuhi muhoji haya Maswali

    Mkubwa umesha sema nguli Sasa mbona unamfundisha kufanya kazi na hii ni fani [emoji2960][emoji2960][emoji2960]
  5. E

    Hali ya Usalama kwa sasa hapa nchini inazidi kuwa mbaya, Unapaswa kujilinda mwenyewe na familia yako kadri unavyoweza

    Sawa , mkuu wa kulinda raia na Mali zao vipi?? atowe tamko hizi ndiyo kazi zake muhimu akumbuke mishahara na posho zake ni za walipa kodi wanao teseka
  6. E

    Kwanini waajiriwa wengi hawana utamaduni wa kufanya savings nchini?

    Napia zile PPF na NSSF sio servings ? sera zingependeza kama wafanyakazi walipaswa kukopa kwa Kila mwaka kwa maendeleo yao zinawekezwa kwenye miradi ambayo mchangiaji hunufaiki
  7. E

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Asante sana endelea kuwaelimisha, binasfsi naunga mkono hoja mara elfu[emoji120][emoji120][emoji106][emoji106]
  8. E

    Jiji la Dodoma ni chafu!

    Kwani mkuu wa mkoa hali oni hili [emoji15] wasaidizi wengine wana hitaji maelekezo na usimamizi Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
  9. E

    AZAM TV Mjitafakari na Bei Zenu za Ving'amuzi, DSTV Wameamua

    Ni kweli kabisa lakini kwa kipi kilicho ongezwa/boreshwa kupandisha garama [emoji15]
Back
Top Bottom