hata simu inaweza Washa mziki kwa player unayoona inaweza kuweka picha kama ya CD,,,, washa screen recorder acha nyimbo iimbe hadi mwisho.. stopisha sreen record chukua hiyo video nenda nayo hata inshot alafu crop size unayotaka. Toa sauti ya video weka audio yenye quality save kazi imekamilika...
Habari wana forum nimekuja na hili swala kama nilivolikuta sehemu watu walikua wanabishana uwezo wa engine za toyota 1hz na 1Nz mada ilikua ni kwamba gari zenye hizo engine zikikaa rami zikianza safari pamoja basi mwenye 1nz atamuacha 1Hz na gari zenye hizo engine ni
landcruiser j70 ina1HZ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.