Hii ni mala ya 5 natumia simu yangu kujiunga na hiyo ya 400mb kwa tsh2500 lakini imegoma naambiwa ongeza salio na jaribu tena. salio langu bado ni 2500/= sasa hiyo mnayoisema inakuwaje kwangu haiwezekani!!!
Sasa hivi gharama ya chini kabisa airtel bundle ni sh. ngapi ile ya mwezi? maana hapa naona 25mb (tsh1500), 150mb=6000/=, 250mb=10,000/=, 500mb=12,000/=, 1gb=15,000/=.
Ndugu zangu, mi sifahamu rabda kila simu ina utaratibu wake, maana huyu aliyeandika kuwa ametuma internet kwenda no. 15444 akapewa mb400 sijui amefanyaje? mimi tangu juzi tar.14 hata dakika chache zilizo pita nimejaribu nikaambiwa sina salio la kutosha kujiunga na internet wakati limo salio la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.