Recent content by Erkapus

  1. E

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuishuhudia mateso anayopitia mh Lengai Ole Sabaya nimeamini Siasa ni Mchezo Mchafu!

    Ni wamasai tu ati. Walipokamata Ile fiongosi etu nyingine bila makosa, wakahamishia yeye karangai. Serkali achia sabaya na fiongosi yetu. Mungu wa Babu setu anaona hii suluma ati.
  2. E

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuishuhudia mateso anayopitia mh Lengai Ole Sabaya nimeamini Siasa ni Mchezo Mchafu!

    Tatiso ya sabaya ni kutetea wamasai. Hamna tatiso ingine. Kama ni makosa makonda iko wapi, na Gambo iko nyumbani yake na fiongosi fijana mingi. Sabaya iko mageresa kwa ajili ya wamasai
  3. E

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Lengai Ole-Sabaya kuwekwa kizuizini ni mgogoro wa wamasai, ofisi ya DPP na serikali kikaangoni

    Shiye wewe ni Kassim Nasri? Kama hii kijana ina makosa kwanini nyie mnatishia wale washtakiwa wensake Ili waandike barua moate mashaidi. Kwanini mlimwambia lengai akubali makosa na akakataa
  4. E

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Lengai Ole-Sabaya kuwekwa kizuizini ni mgogoro wa wamasai, ofisi ya DPP na serikali kikaangoni

    Mimi sio ndege mbuni. Mimi anasema ukweli. Kingeresa tunaandika fisuri kweli
  5. E

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Lengai Ole-Sabaya kuwekwa kizuizini ni mgogoro wa wamasai, ofisi ya DPP na serikali kikaangoni

    Alikuibia nini Ili sisi tukulipe? Yero acha kuhukumu wewe sio Mungu
  6. E

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Lengai Ole-Sabaya kuwekwa kizuizini ni mgogoro wa wamasai, ofisi ya DPP na serikali kikaangoni

    Hata haipo kisongo, alipelekwa Moshi huko karanga. Si walijua watakamata na hao viongozi wetu wengine, wakawatenganisha. Wacha chuki msee
  7. E

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Lengai Ole-Sabaya kuwekwa kizuizini ni mgogoro wa wamasai, ofisi ya DPP na serikali kikaangoni

    Hapana we hujui. Mbona viongosi wengine vijana matajiri tuu hawajakamatwa? Hi ni kisasi, kweli wasamehe tu hiyo kjna wetu
  8. E

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Lengai Ole-Sabaya kuwekwa kizuizini ni mgogoro wa wamasai, ofisi ya DPP na serikali kikaangoni

    Nawasalimu kwa salamu ya jamuhuri yetu. Vile kichwa cha habari kinavyojieleza, pamekuwa na matukio mbalimbali ya upotoshaji dhidi ya jamii ya kimasai na watu yake. Tangu serikali ya awamu ya sita iingie madarakani ni manyanyaso tu, madhila, kudhalilishwa, kutishiwa na kuhamishwa kutoka...
Back
Top Bottom