Recent content by erickelly

  1. erickelly

    Msaada: Nilibadili jina na ninataka kupata Passport. Nifanye nini Passport iwe na jina langu jipya?

    Tupo tofauti sana kama wewe unavyoniona mimi mjinga unaweza kusema lolote ila hakuna kitu kizuri kama amani unajisikiaje mtu ukimwambia jina lako anahamaki huko nida kwenyewe wanalishangaa pia nimeomba msaada wakufanya na sio kujaji maana kama ningelipenda nisingeomba msaada.🙏
  2. erickelly

    Msaada: Nilibadili jina na ninataka kupata Passport. Nifanye nini Passport iwe na jina langu jipya?

    Habari viongozi kijana wenu na shida moja. Mimi ni kijana Mtanzania ,shida yangu ni moja, mimi naitwa Elieth jina la kuzaliwa nalo lakini tangu nakua hilo jina walikuwa wakiniambia ni la kike hata shule pia lilikuwa kwenye arodha ya wanawake, kibaya zaidi nimeenda kutengenezea kitambulisho cha...
  3. erickelly

    Utofauti wa majina yangu kwenye vitambulisho umepelekea nishindwe kupata mafao yangu, nifanyeje?

    Yah ipo hivyo lakini mbona walikuwa wananipelekea michango yangu na jina sio hilo mbona hawakushtuka hilo iwe sasa wakati wa kutoa eti?
  4. erickelly

    Utofauti wa majina yangu kwenye vitambulisho umepelekea nishindwe kupata mafao yangu, nifanyeje?

    issue ipo hivi (Bariki daudi godi)Hili ni jina langu la kuzaliwa (Joseph daudi godi)Hili ndio nimependa kujipa mwenyewe.Kwa sababu hili jina langu lakuzaliwa yanaendana na la kike sana lipo kikeni sasa mimi nimeona sio jambo jema ndio nikaanza kubadilisha kila document ninayosomea naandika jina...
  5. erickelly

    Utofauti wa majina yangu kwenye vitambulisho umepelekea nishindwe kupata mafao yangu, nifanyeje?

    Tofauti ipo hivi (barik daudi godi) jina lingine ni (joseph daudi godi) hilo la juu ni jina langu lakuzaliwa kabisa ila kutokana na hilo jina linafanania na lakike ndio nikaona nibadilishe ndio nikajiita hilo jina la pili.Ila hayo majina hapo sio ni mfano tu.
  6. erickelly

    Utofauti wa majina yangu kwenye vitambulisho umepelekea nishindwe kupata mafao yangu, nifanyeje?

    Upo sahihi ila je mbona wao walikuwa wanaweka hela kwenye jina tofauti ambalo ndio hilo wanalosema hawalitambui?
  7. erickelly

    Utofauti wa majina yangu kwenye vitambulisho umepelekea nishindwe kupata mafao yangu, nifanyeje?

    Mimi hata wakichelewa shida yangu mafao yangu nssf nipate sasa wao wanaleta pingamizi hadi nibadilishe
  8. erickelly

    Ijue deed poll (nyaraka inayotumika kubadilisha jina la mtu)

    Ninayo hiyo huko kote nimeenda nashangaa nssf wamenikatalia nimeenda hapo ilala boma wakanikatalia wanasema nibadilishe kwenye vitambulisho chao vifanane na kwenye vyeti ndio ninapotaka kujua zaid kisheria imekaa sawa hiyo 🙏
  9. erickelly

    Utofauti wa majina yangu kwenye vitambulisho umepelekea nishindwe kupata mafao yangu, nifanyeje?

    Yah wengi wanasema hivyo ila naona HR kaamuakunikazia tu maana hata michango alikuwa anatumia hilo hilo jina la tofauti na kwenye mkataba wake ila sasa hivi ndio naona anaijua sheria vizuri sijui alilala wapi
Back
Top Bottom