Mwalimu wa Historia, "Eeeenhee
Wanafunzi, hivi ni nani alimuua Dedan
Kimathi?"
Mwanafunzi wa Kwanza, "Aki sio Mimi!!"
Mwanafunzi wa Pili, "Walahi sihusiki hata
kidogo!!"
Mwanafunzi wa Tatu, "Kwanza mie jana
sikuja Shule!!"
Kutokana na majibu hayo,Mwalimu
akaona ana Darasa la Majuha na...