naomba kufahamishwa uwezekano wa kuhamia butimba ttc coz nimeambiwa niulzie kama kuna population kubwa ama la plz nambien kama chuo kmejaa au bado kuna nafasi mimi nipo kasulu
wana jf naombeni mnijuze kama inawezekana mwalimu wa diploma masomo ya chemistry na geography kuomba degree ya pharmacy na atatumia matokeo au cheti gani pindi aombapo?ufafanuzi plz
fungua United Republic Of Tanzania - Ministry of Education and Vocational Training utakuta jina la chuo na join yake download.mwisho wa kuripoti tar.25/8
Jamani wanajanv 2toane waswas juu ya hili maana wizara wametia mkazo kua ambaye ataripoti baada ya hizo tarehe hatapokelewa na mimi naona wengi wanategemea kuweka mambo sawa mwisho wa mwez huu na kuripoti mwez wa 9.
It seems your brain contains a soil water there by does not function well,shortly, you are not educated,or,you are undergoing primitive evolution.kuwa makin kama huna constructive comments kalale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.