Hili swali ni la kiutafiti juu ya mamna ya kuboresh usalama wa maeneo kwanama ya kiujenzi kwa kuzingatia matumizi mazuri ya mwanga hasilia yani Jua na mwanga artificial
Habari..Mi ni mwanachuo na somea mambo ya ujenzi.. na hivi sasa nafanya utafiti juu ya kuongeza usalama katika jiji kwa kutumia vizuri mwanga halisia(jua) na mwanga artificial katika mitaa yetu. Hivi kwa wenyeji wa mbagara, mda wa usiku kuna taa za kutosha mtaani au ni giza?..na Je mnahisi hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.