Lowasa akiingia madarakani tutamvaa huko huko aje kujibu uwongo wake, Pia tunamtuhumu kwa kukipotezea muda chama cha Chadema, kumbe alikuwa shushushu wa maccm, Tutamshtaki, Pia huyo Josephine hataishi kwa Amani hata akiwa Marekani, afahamu Jicho la Mungu halikimbiwi!
Hakubaliki?' Hivyo nchi itawaliwe Na familia zilezile kila kunapokucha, wale wale ambao wazazi wao walisomeshwa na Kofi za wazazi wetu? Mnauye, Makamba, Kikwete, Mwinyi, Mkapa, Warioba, n.k? Wale wale, hakuna, tumeshtuka, Ukawa Hoyeeeeee!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.