Recent content by Enlightened one

  1. Enlightened one

    Mbinu wanazotumia ulimwengu wa giza kupotosha ukweli kuhusu Mungu

    Mfano belt(mkanda unaoconnect kioo cha sim yako na system panel)
  2. Enlightened one

    Mfahamu Ellen Gould White Nabii Mke wa SDA Church

    Haya niambie kati ya SDA's na nyie(Sunday keepers) yupi,ana"iacha amri ya Mungu na kuyashika mapokeo ya wanadamu" Kwa sababu bible iko explicit inasema "ikumbuke siku ya sabato..." Lakini ninyi(mapokeo ya wanadamu) mwasema shika kitakatifu siku ya Bwana (Dominica/j,pili) Nambiye wewe, yupi hilo...
  3. Enlightened one

    Mbinu wanazotumia ulimwengu wa giza kupotosha ukweli kuhusu Mungu

    Ahaa kumbe ndiyo annunak anazifataga🤣🤣🤣🤣, Wewe matumizi ya gold hayapo limited to accessories ,gold pia hutumika in electrical appliances mfano hiyo smartphone yako,computer,some Usb cables, electrical connectors,internet cables etc, gold hutumika pia in medicine,sports and so on. Kwahiyo...
  4. Enlightened one

    Mfahamu Ellen Gould White Nabii Mke wa SDA Church

    Si nimekudirect kwenye quotation inayoelezea legitimacy ya EGW kama nabii?isome kwanza ndio uje tuendelee na mada
  5. Enlightened one

    Mfahamu Ellen Gould White Nabii Mke wa SDA Church

    Search Dunia nxima hakuna mtu yeyote anaye itwa Hellen.G.White aliyekuwa nabii wa SDA
  6. Enlightened one

    Mfahamu Ellen Gould White Nabii Mke wa SDA Church

    By the way me simjui huyo HGW wako,but incase your interested Soma hii ameelezea vizuri uthibitisho wa kuwa EGW ni nabii
  7. Enlightened one

    Mfahamu Ellen Gould White Nabii Mke wa SDA Church

    Hayo umesema wewe mkuu mbona hujaleta reference yeyote kutoka vitabu vya SDA's vinavyoonesha kuwa wanaamini haki kwa sheria SDA hawamix Sheria na Rehema na wanaamini 💯% juu ya wokovu kwa neema pekee(ref:SDA Beliefs by GCand Haki kwa imani by D.mateker) hakuna mtu atakaye hesabiwa haki kwa...
  8. Enlightened one

    Mfahamu Ellen Gould White Nabii Mke wa SDA Church

    Sources nimeziweka mwisho wa post(kwenye attached thread)
  9. Enlightened one

    Wanyama ambao sio binadamu, waliingiaje katika adhabu ya kifo baada ya Eva/Hawa na Adam kutenda kosa la kula tunda?

    Kumbe na wewe unamajibu yako,yalete basi tuyaone😁😁maana nimeleta logical explanation na wewe unapinga pasi na maelezo yeyote 😡
  10. Enlightened one

    Mfahamu Ellen Gould White Nabii Mke wa SDA Church

    Sources Life sketches by EGW Wikipedia
  11. Enlightened one

    Wanyama ambao sio binadamu, waliingiaje katika adhabu ya kifo baada ya Eva/Hawa na Adam kutenda kosa la kula tunda?

    Sasa hapo ungechagueje uzaliwe wakati haukuwepo kabisa, suala la wewe kuzaliwa,wa kumlaumu (anayehusika) ni wazazi wako wala Mungu hana kosa maana aliwapa chaguo wazazi wako wazae au la,nao wakachagua kuzaa ndio ukatokea wewe Actually Adam na hawa hawakuwa Zombies kana kwamba walikuwa kichwani...
Back
Top Bottom