Siku ya jana nimeamka na kukutannina vipele kwenye mapaja na hata sijui vimetokana na nini nimejaribu kuwaza labda ni matokeo ya medisoft repellent lakini nimepaka kwenye mapaja mara mbili tu na ni siku kama tano zimepita.
Vipele vinawasha kweli kweli kwa mtu anayeweza akasuggest dawa anisaidie...
Jamani ninaomba msaada kwa anaefahamu
Nimekuwa na changamoto ya afya,kuna hali huwa inanipata hasa muda wa jioni nikitembea kidogo kifua kinakuwa kama kizito na tumbo linakuwa kama limejaa then nakuwa na blurry vision na wakati mwingine moyo unaenda mbio.
Jambo la pili ni nikiwa najisikia haja...
Jaman naomba kujua kama huu ni utaratibu wa serikali au ni vipi katika kupata cheti cha mtoto, wakati napeleka docs kwaajili ya kupata cheti hakukua na mahali jina limekosewa,kila kitu kilikuwa sawa naa hata fumu nilipewa ilijazwa vizuri cha ajabu cheti kimetoka majina yamekosewa wakati...
Habari wakuu,mimi ninachangamoto moja,hapa majuzi niliumwa nikaenda hospital nikakutwa nina UTI kali na maralia nikachoma powersafe na pia nikanywa mseto
Baada ya muda nikaanza kusikia tena hali ya kuumwa nikapima nikaambiwa UTI haijaisha nikanywa azuma kwa siku 6 nimemaliza siku moja imepita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.