Recent content by enigma12

  1. E

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini ukaguzi ukiharibu mali?

    Habari ndugu naomba kufahamu jibu la hili swali ambalo nimekuwa ninajiuliza siku nyingi sana. Mfano nimesimamishwa barabarani au kutembelewa gafla nyumbani na maafisa ukaguzi na wakatuhumu kwamba labda nimebeba bidhaa haramu,wakaamua kupekua gari/nyumba sasa katika kupekua baadhi ya vitu vikawa...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya muziki Zanzibar

    Habari za asubuhi, ninaomba kujua kuhusu vyombo vya mziki Zanzibar pamoja na gharama zake kwa wenyeji.
  3. E

    JamiiForums Tanzania Msaada Dawa ya Rashes (vipele)

    Asante sana Doc,i appreciate your assistance. Nilikuwa porini kidogo nikahitaji repellent
  4. E

    JamiiForums Tanzania Msaada Dawa ya Rashes (vipele)

    Hii hapa
  5. E

    JamiiForums Tanzania Msaada Dawa ya Rashes (vipele)

    Nimeatach kwako
  6. E

    JamiiForums Tanzania Msaada Dawa ya Rashes (vipele)

    Pls angalia kwenye post nimefanya attachment
  7. E

    JamiiForums Tanzania Msaada Dawa ya Rashes (vipele)

    Pls angalia attachment
  8. E

    JamiiForums Tanzania Msaada Dawa ya Rashes (vipele)

    Nimeapoad pic
  9. E

    JamiiForums Tanzania Msaada Dawa ya Rashes (vipele)

    Siku ya jana nimeamka na kukutannina vipele kwenye mapaja na hata sijui vimetokana na nini nimejaribu kuwaza labda ni matokeo ya medisoft repellent lakini nimepaka kwenye mapaja mara mbili tu na ni siku kama tano zimepita. Vipele vinawasha kweli kweli kwa mtu anayeweza akasuggest dawa anisaidie...
  10. E

    JamiiForums Tanzania Msaada: Muda wa jioni nikitembea kidogo kifua kinakuwa kizito, tumbo linakuwa kama limejaa na nakuwa na blurry vision wakati mwingine moyo

    Jamani ninaomba msaada kwa anaefahamu Nimekuwa na changamoto ya afya,kuna hali huwa inanipata hasa muda wa jioni nikitembea kidogo kifua kinakuwa kama kizito na tumbo linakuwa kama limejaa then nakuwa na blurry vision na wakati mwingine moyo unaenda mbio. Jambo la pili ni nikiwa najisikia haja...
  11. E

    JamiiForums Tanzania Rita

    Jaman naomba kujua kama huu ni utaratibu wa serikali au ni vipi katika kupata cheti cha mtoto, wakati napeleka docs kwaajili ya kupata cheti hakukua na mahali jina limekosewa,kila kitu kilikuwa sawa naa hata fumu nilipewa ilijazwa vizuri cha ajabu cheti kimetoka majina yamekosewa wakati...
  12. E

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri

    Sawa
  13. E

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri

    Nipe uzoefu wako mkuu
  14. E

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri

    Sawaa nashukuru
  15. E

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri

    Habari wakuu,mimi ninachangamoto moja,hapa majuzi niliumwa nikaenda hospital nikakutwa nina UTI kali na maralia nikachoma powersafe na pia nikanywa mseto Baada ya muda nikaanza kusikia tena hali ya kuumwa nikapima nikaambiwa UTI haijaisha nikanywa azuma kwa siku 6 nimemaliza siku moja imepita...
Back
Top Bottom