Sijapoteza Muda wao Mkuu! Kuna Story Kwenye Mahusiano Yoyote Lazma iwepo!
Mpaka Kufikia Kuachana Nao! Na Ninashukuru Tangu Niachane Nao Wote Wanamahusiano Ambayo Naona Ni Mazuri! Lkn Ndo Bado Wananitafuta ....Kuna Tabia Ambazo Azikunirithisha!!!! Kuachana Nao Ikawa Ngumu! Maana Walikua Awataki...
Habariini za Muda Huu! ( MFANO MIMI.....)
Bwana Mimii Nina Ex Zangu Watatu
MMOJA TULIDUMU MIAKA MITATU
MWINGINE MINNE
NA MWINGINE SITA
Ambao Kiukweli Niliwahi Kuwaumiza Sana! Lakini Chakushangaza na kinachonipa Mawazo Sana Still Bado Wananitafuta Mpaka Leo Nakuulizia Kuhusu Mahusiano Yangu Ya...
Duuh Hiii Nimeipenda Sana!Na Ni Elimu Kubwa Sana, Hongera Sana mkuu! Tunapenda Kuona JF wanatoa Uzi Kama Hizi Aisee!
Nasubiri Inayofwata [emoji1317][emoji1317]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.