Samahani wana jamii forum kwa mwenye atakuwa na majina ya round ya kwanza na ya pili chuo cha udsm kwa ngazi ya masters degree naomba anisaidie.
Natanguliza shukrani.
Sijajua kaka maana mm niliomba mwishoni mwa mwezi wa 9 kabla second round being closed na now almost mwezi account yangu Kwenye dash board inaonesha tu kuwa nime submit my application nacho jua kuna mwalimu alinipigia kuni alert tu kuwa nimepangiwa structural km wiki 2 zilizopita ivi ila majina...
Mm no miongoni mwa waliomba nitake ya mwezi wa 9 now wapo katika mchakato wa kurelease majina nacho jua we apo subiri mpaka nitake ya mwakan ya mwezi wa pili ndo ipo opened!! Au Kama utaweza nikupe no ya lecture lkn kwa upande wa department ya Coet yeye ana dili na mambo kama aya sijajua ww upo...
Wadau naombeni msaada wa mawazo ikiwa ndo siku ya kwanza kuitwa Kwenye interview...based on your career!! Viashiria gani positive inabidi uwe navyo na vipi inabidi uzue
Wadau samahanini!
Mimi ni graduate engineer hususan mambo ya ujenzi...nilikuwa napenda kujua ili upate nafasi ya seap ndani ya taasisi Fulani inakuwaje?
Msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.