Recent content by Engineer izaq

  1. Engineer izaq

    JamiiForums Tanzania Sehemu bora ya field Electrical engineering

    Habari, Me ni mwanafunzi wa DIT ktk fani ya Electrical Engineering, kwa sasa Nipo week ya kwnz ya Field hapa Azam(Tazara/Dsm)... ila changamoto ninayo iona apa hakuna zile kazi nikaongeza knowledge hata kdg, mda mwingi tunakaa tu. Naomba msaada sehem bora kwny Field hii ya umeme, niondoke apa!
  2. Engineer izaq

    JamiiForums Tanzania Leo ndio itakuwa mara yangu ya mwisho kupanda mwendokasi

    Hata gari hujapanda unasema ni siku ya mwisho....ebu njoo uhamie kigamboni
  3. Engineer izaq

    JamiiForums Tanzania Ushauri au mawazo tatizo la kusahau majina ya watu

    Habari, Naomba ushauri wenu au mwnye changamoto kama yangu anaikabili vipi? Kwa ufupi, me huwa nasahau majina ya ndugu/jamaa/marafiki punde tu baada ya kutengana(hata kwa week) Hili swala limekuwa gumu kulikabili, maana sometime nakutana na mtu ananiita majina yang matatu, ila me simjui hata...
  4. Engineer izaq

    JamiiForums Tanzania Kuamini Hezbollah, Hamas, wanaweza kumpiga myahudi jwa vita hivi ni unyanyasaji

    Sasa si tufanyaje, na watu wanakiwasha...unazan watu kule wanaleta itikadi za kinyonge. Ukirusha ngumi, unalipwa ngumi haijalishi una guard au la
Back
Top Bottom