Recent content by engida

  1. E

    Wajumbe waliogombea NEC Taifa mwaka 2017 wateuliwe kuwa Wakuu wa Wilaya

    Kwa ushauri wangu, wanaostahili kuteuliwa ni wale wenye CV zilizoshiba ambao waligombea ubunge katika majimbo lakini kura zilikua kidogo. Ninasema hivyo kwa sababu kuna uhusiano mkubwa kati ya kura nyingi na rushwa.
  2. E

    Sifa za kugombea ubunge zibadilishwe walau mgombea awe na elimu ya shahada

    Tuseme ukweli, jamani dunia nzima inaongozwa na ELIMU. Namnukuu Mahatma Ghandi (Mwanaphilosophia nguli ktk Menejimenti) 'Ili uwe kua kiongozi bora, ni lazima kiongozi uwe muelewa kuliko wale unaowaongoza'. Hapa Tanzania ni kinyume chake. Kwa kweli haya ya kukataa elimu (Sayansi), ni mawazo...
  3. E

    MATAGA, UVCCM: Lengai Ole Sabaya anaonewa

    Nafikiri mama SHS hajakurupuka!!! Kwa nini watu wengi wanashangilia? Nenda Arusha uliza mwana CCM yeyote hususan Arusha DC, au hata St John's University aliposomea huyu DC!!! Ukweli wote utajulikana ... TUACHE UCHUNGUZI UTATENDA HAKI!!!!. Funzo kubwa kwa tulio MADARAKANI, jamani tutende HAKI kwa...
  4. E

    Tanzania ukiwa Kiongozi unaweza kuwafanya Raia chochote

    Nakukubali sana kaka...
  5. E

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Mhe. Raisi, nimekua nikifuatilia sana hoja ya uhitaji wa Wahadhiri wenye sifa katika vyuo vikuu vyetu vya uma hapa nchini na kugundua kwamba bado kuna upungufu mkubwa sana. Baada ya kutafakari na kufanya utafiti mdogo, kuna haja ya kutafakari upya kama ifuatavyo; 1. Kuna wahadhiri waliosomeshwa...
Back
Top Bottom