Recent content by ENDTIME

  1. E

    JamiiForums Tanzania Je, waandishi wa Biblia hawakuona aibu kufanya ‘Plagiarism’ ya wazi wazi kwenye ‘Vibao vya Sumeria’ na kufanya editing bila aibu kabisa?

    Hakuna jambo baya kama kutolijua jambo na kukomaa kama unalijua huku ukitumia kutokujua kwako kuwapoteza ama kuwachanganya wengine, ukiuliza utapungukiwa nini kwanini uje kama unajua wakati hujui..
  2. E

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Simba: Mechi ya kesho dhidi ya Yanga ni nyepesi

    Ni vizuri wanayanga mkajiandaa kisaikolojia, litawakuta jambo ambalo hamtaamini. Ni muhimu kuchukua tahadhari. Goli ni kuanzia 3
  3. E

    JamiiForums Tanzania Yanga wajiandae kupoteza mchezo dhidi ya Simba, goli ni watakazofungwa ni kuanzia 3

    Yanga wanakikosi kizuri sana kwa sasa lakini kuna jambo ambalo linaweza kuwapata likaacha watu wengi midomo wazi. Mimi binafsi naoma Yanga wakipoteza kwa Simba goli 3 kwa 0 na wanaweza kufungwa goli nyingi zaidi. Na ikitokea wakafunga goli basi ni dakika za majeruhi na kwa tabu sana...
Back
Top Bottom