Recent content by Emthinkers

  1. E

    Walimu ni kundi la wanafiki, waoga na wasengenyaji kuliko kada yoyote Ile

    Hii nchi inashda sana kiukwel nmekaa nmewaza nmetafakari kwann vijana atutumii mda wetu vzuri kujifunza kuptia forums tunatumia mda kufuatilia ujinga wa mawazo ya mtu mmoja anaepingana na elimu iliyomfanya awe yeye, kiufup ni vzuri kupost ktu unachoona kitakua kina manufaa kwa msomaji cyo...
  2. E

    Kwa yeyote anayeijua shule ya msingi ikoma iliyopo kishapu mkoani shinyanga please

    Ukishapata ajira utasoma uko uko bana kwanza ni kuingia kwenye mfumo kabla mambo hayajabadilika zaidi
  3. E

    Kwa yeyote anayeijua shule ya msingi ikoma iliyopo kishapu mkoani shinyanga please

    Ingekua vyema sana kama serikali ingetumia njia ya ajira ziwe znatolewa wilayan na cyo kwenye wizara ya mtu anatuma maombi katika wilaya anayoitaji kuajiriwa ingepunguza hizi pupa
  4. E

    Kwa yeyote anayeijua shule ya msingi ikoma iliyopo kishapu mkoani shinyanga please

    Kwa mwalimu yeyote wa msingi mkazi wa wilaya ya kishapu anaehitaji tunadilishane vituo vya kazi anitafute please.
Back
Top Bottom