Recent content by emrod

  1. emrod

    Ushuhuda: Tusirudie makosa ya wazazi wetu kukariri elimu ni ufunguo wa maisha, ufunguo wa uhakika ni kumfundisha mtoto biashara ama kujiajiri mapema.

    Wengine hawataki kubadilika na ndio maana watu wengi wenye mafanikio hawana elimu ya degree
  2. emrod

    Ushuhuda: Tusirudie makosa ya wazazi wetu kukariri elimu ni ufunguo wa maisha, ufunguo wa uhakika ni kumfundisha mtoto biashara ama kujiajiri mapema.

    Ndio mnadanganyana mkiwa chuo mkiingia mtaani mnakuta Mambo yako tofauti Sasa ivi elimu inatusaidia kusoma na kuandika na kutoa ujinga lakini elimu sio ufunguo wa maisha na hakuna mwalimu anafundisha maisha ni wewe mwenyewe umtangulize mungu na kufanya kazi kwa bidii
  3. emrod

    Afrika Tumejiandaaje na Ujio wa AI?

    Shida mkuu wataleta hayo maroboti sio nchi za Africa watanunua yaani wazungu watayamwaga kila sekta mwisho wa degree na PhD ndio utakuwa mwisho
  4. emrod

    Watanzania tunajiandaaje na Ujio wa Artificial intelligence (AI)? Askofu Gwajima anasema miaka 3 Ijayo Degree zitakosa kazi

    Huo ndio ukweli mkuu robot limemezeshwa kila kitu linaweza likafanya kazi ya watu kumi kwa Mara moja na athari kubwa zimeshaanza huko ulaya kama Google idadi ya watu wamepunguzwa tusidanganuane Cha muhimu huyu Elon musk apunguzwe sped Hali itaendelea kuwa mbaya huko mbele hata huku Africa...
  5. emrod

    Watanzania tunajiandaaje na Ujio wa Artificial intelligence (AI)? Askofu Gwajima anasema miaka 3 Ijayo Degree zitakosa kazi

    Hamna kitu Kama hicho roboti la Elon musk limetengenezwa kwa tekilogia kubwa Sana linamezeshwa na linafanya kila kitu mkuu acha kuwafariji vijana na tayari azari tumeshaziona huko ulaya kwa nzia Google idadi kuwa ya wafanyakazi wamepunguzwa ukweli ndio huo mkuu na unauma
  6. emrod

    Watanzania tunajiandaaje na Ujio wa Artificial intelligence (AI)? Askofu Gwajima anasema miaka 3 Ijayo Degree zitakosa kazi

    Mkuu ukweli ndio huo kuna clip niliiona huko ulaya kwa Sasa asilimia kubwa maroboti yanafanya kazi na idadi kubwa ya watu wanapunguzwa Kama roboti moja linafanya kazi ya watu kumi tutegemee Nini mkuu? Hali inatisha mkuu na Elon musk tajiri wa dunia anazidi kuyatengeneza na kila sekta yatakuw...
  7. emrod

    Wazazi tuchukue tahadhari, Tusomeshe watoto sambamba na kuwaandaa waweze kujiajiri ama kufanya biashara, degree/masters zinawaaibisha watu mitaani

    Haina tija ndio maana wazungu wanaangalia mtoto ana talent gani anayo na anamkazania hio na mwisho wa siku mtoto anaenda vizur na maisha yake na kwa Sasa tekilogia zimekuwa Pana Sana huko ulaya marobo yameanza kufanya kazi maofisini na sehemu nyeti idadi kubwa ya watu wanakuwa hawana kazi mkuu
  8. emrod

    Wazazi tuchukue tahadhari, Tusomeshe watoto sambamba na kuwaandaa waweze kujiajiri ama kufanya biashara, degree/masters zinawaaibisha watu mitaani

    Zinapata changamoto lakini tayari huyu wa darasa la Saba unakuta ana uzoefu mkubwa Sana na ameshakutana na changamoto nyingi Sasa huyu wa degree kwanza hajui lolote zaidi ya gpa ya kwanza
  9. emrod

    Wazazi tuchukue tahadhari, Tusomeshe watoto sambamba na kuwaandaa waweze kujiajiri ama kufanya biashara, degree/masters zinawaaibisha watu mitaani

    Ngumu kumeza lakini huo ndio ukweli elimu ya Sasa Haina tija mzazi unatumia garama kubwa kumsomesha mtoto mwisho wa siku mtoto anamaliza anarudi mtaani na wale waliosomeshwa English medium asilimia kubwa ushoga ndio anaanzia mtoto huko wengine tunawaona mtaani wanakula ngada na wengine wanauza...
  10. emrod

    Graduate, mshahara chini ya milioni moja usifanye kazi

    Sasa aache aendelee kugombania Mandazi asubui na wadogo zake Sasa na huko tunakokwenda ellon musk analeta maroboti ya kufanya kazi kwa nzia maofisini na kila sekta Sasa ndugu zangu graduate elimu ilikuwa zamani ukisoma uhakika wa ajira upo Sasa msikilizeni huu upuuzi mtakuja kujuta umri unaenda...
  11. emrod

    Mdogo wangu wa kiume anakunja milioni 3 per month ila mshahara wake wote anaumalizia kwa wanawake

    Sawa mkuu ni matumizi yake aliochagua kwenye maisha yake lakini wazungu wanasema time will tell Sasa wewe mwache fainali ni uzeeni au mwisho wa ajira no shamba
  12. emrod

    Alicho kipost Julius Mtatiro kuhusu wazazi wenye watoto wanaosoma shule za English Mediums

    Kwa maisha ya Sasa kumpeleka mtoto English medium kuna changamoto Sana kuna watoto wanaanzia ushoga huko na mifano tunaiona mitaani Cha pili unapoteza pesa nyingi mwisho wa siku mtoto anamaliza hamna ajira Cha tatu maisha hayana mwalimu juhudi zako ndio zitakuwa muamuzi wa maisha yako Cha nne...
  13. emrod

    Chakula kwa siku Tsh 30,000

    Hayo ni matumizi yako hio kwa maisha ya kawaida wanaweza wakala wiki Sasa Kama wewe maisha yako Yana bajet hio kaa nayo acha kutisha vijana
Back
Top Bottom