Asee marafiki zangu wengi mapadri unachosema ni kweli tukiwa nao huwa wanajisahau kabisa kama wao ni watumish wa mungu wanajiachia wanatongoza wanatukana wanalewa sema nawasifu ibada hawaachi,
Kama mtu anatakiwa ibada ya sa12 hata alale saa tisa asubuhi kama kawa kwenye misa anachangamka vizuri
Wanaoua siyo polis ni vyombo vingine vya usalama hao polis wanasingiziwa tu, anaoua kwa asilimia 99 hawakosei maana wanaiju kazi yao upelelezi wa maana ushafanyika na wanawajua panyaroad vizuri, naamini panyaroad wataisha kama walivyoisha magaid kule kibit.
Kama watarudia tena panyaroad kurudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.