Recent content by Empress_sheila

  1. Empress_sheila

    Mapinduzi ya siku hizi yanafananaje?

    Donti tiray ati homu blaza
  2. Empress_sheila

    Ruto anaonyesha kila dalili za kuja kuwa Kama Magufuli

    Na wasiwasi ndiye anayezuia bomba la mafuta
  3. Empress_sheila

    Usiogope unaweza kujenga na kumiliki kituo cha kujaza mafuta ya vyombo vya moto vijijini cha gharama nafuu

    Nilikua na hizi ndoto sasa bas! Acha nitafute mtaji wa kiwanda cha mafuta
  4. Empress_sheila

    Vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia wazidi kushamiri nchini. Padri atuhumiwa

    Tatizo chaguo la padre ni watoto kondoo wakubwa washatumika hatak
  5. Empress_sheila

    Msajili abariki Mbatia na Wenzake kusimamishwa NCCR Mageuzi

    Mbatia kama zito tu ndumilakuwili sana chadema wasirogwe wakampokea! Mbowe atatoka madarakan
  6. Empress_sheila

    Unyama huu wanaoufanya Polisi utamgharimu Rais Samia

    Bado hujajua kitu! Jifunze kwanza
  7. Empress_sheila

    Vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia wazidi kushamiri nchini. Padri atuhumiwa

    Asee marafiki zangu wengi mapadri unachosema ni kweli tukiwa nao huwa wanajisahau kabisa kama wao ni watumish wa mungu wanajiachia wanatongoza wanatukana wanalewa sema nawasifu ibada hawaachi, Kama mtu anatakiwa ibada ya sa12 hata alale saa tisa asubuhi kama kawa kwenye misa anachangamka vizuri
  8. Empress_sheila

    Pongezi kwa jeshi la polisi, mafanikio ya operation PANYA ROAD mitaani tunayaona

    Wanaoua siyo polis ni vyombo vingine vya usalama hao polis wanasingiziwa tu, anaoua kwa asilimia 99 hawakosei maana wanaiju kazi yao upelelezi wa maana ushafanyika na wanawajua panyaroad vizuri, naamini panyaroad wataisha kama walivyoisha magaid kule kibit. Kama watarudia tena panyaroad kurudi...
  9. Empress_sheila

    Hatimaye baada ya miezi 8 nimepokea Tsh 46000 kutoka Sagapoll

    Jaman hakuna online app nyingine inayolipa? Nicheze tena maana hii miez nane si mchezo
  10. Empress_sheila

    Hatimaye baada ya miezi 8 nimepokea Tsh 46000 kutoka Sagapoll

    Asante nimeenda na nimejibu maswali vizuri tu! Sema dah inapoteza muda!
Back
Top Bottom