Wapendwa naomba kuuliza jambo... mzazi wangu amepewa zawadi ya seti mpya ya masofa na fenicha nyingine kama zawadi ya kustaafu...hana pa kuiweka seti ya zamani....kuna mtu humu anaweza fahamu mahali wanaponunua makochi ya zamani..maana mbao zake ni nzima na imara ila kitambaa kimechakaa kiasi...
huyu mimi alishindwa kutengeneza AC ya Vitz old model na watu walimsifia saana na kunihakikishia hashindwi ila alichemka
Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
hahahaha unajua shida ni hii hii ambayo nimeiulizia hapa,watu hawawezi kununua Nissan sababu tumeaminishwa vitu negative kiasi kwamba hata utakapoinunua,kuiuza ni kipengele hainunuliki kiurahisi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]naweza nikakuuliza kama umewahi kumiliki na kujaribu kuiuza,jibu...
asante sana mkuu kwakweli mpaka hapa nimepata uhakika wa nini cha kufanya...comments zenu zimenisaidia na kunifungua ufahamu sana...maana nimeaminishwa hivyo for years na mimi ningeaminisha hata wengime,kumbe viti si vya kweli
Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
asante sana mkuu...hili nalo neno..nimesikia spea ziko juu kiaina lakini siyo kiviiile...siyo kwamba eti zomepishana saaana na za toyota...
Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
na mimi nimekumbuka mzee wangu aliwahi kuwa na Nissan Sunny hata yeye kaniambia hakuona shida yoyote ambayo hajaiona kwenye toyota,ni kufanya service kwa wakati na matunzo mengine....shukrani sana mkuu
Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
asante sanaa mkuu...mnanisaidia mno kufanya maamuzi based on experience na ukwelu na siyo tu myth na uzushi
Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
asante sana...comment yako very helpful..a lot of misinformation...yaan mtu kakariri tu na anaaminisha wengine
Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.