Mawazo ya kipumbavu hayo,----- wewe,HV mbona watanzania mnaakili za kiboya hivi,nchi zote duniani wananchi wanahitaji unafuu wa maisha katika huduma za jamii bila kujali gharama kubwa lkn sisi watanzania tunajifanya in watetezi sana wa ujinga tu.Tutamlinda Magufuli kwa gharama yoyote ile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.