Hagwila,
Yaani hapa hata kama ni mtoto mdogo unaelewa tu kuwa huyo afisa anayesifiwa lazima yuko nyuma ya pazia katika kuandika habari hii.
Yaani wewe mmoja tu uwe msafi kuliko wote hao umekuwa Mungu?
Acheni kuchafua wenzenu kwenye mitandao ya kijamii.
Taratibu za kiutumishi ziko wazi.
Chadema kimebaki kutapatapa na majina ya watu. Mara Zitto, mara Lowasa, Mara msajili, mara JK. Huo ndio ukomo wa fikra za Slaa na Mbowe. Changes need to be made from within. Remember, a candle can not light others if it does not burn itself.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.