NISSAN X-TRAIL VS TOYOTA HARRIER
CAPACITY; harrier ina uzito mkubwa zaidi kwa kuwa na maximum weight ya 2700Kg lakini x-trail ina uzito wa 2170 Kg lakin x-trail ina nafasi kubwa ya kubeba mpaka uzito wa 1773Kg ambapo ni asilimia 11 zaidi ya harrier na ina roof kubwa kuliko harrier.
ENGINES...
KARIBU KIMOMWE MOTORS UAGIZE GARI YAKO YA ABIRIA KWA WALE WANAOPIGA ROUTE FUPI NISSAN CIVILIAN NI BORA ZAIDI NA KWA WALE WA ROUTE NDEFU UTAPATA ROSA AU COASTER KWA GHARAMA NAFUU KABISA.
NISSAN CIVILIANI ATAIPATA KWA GHARAMA YA KUANZIA MILIONI 34 KUTEGEMEANA NA MWAKA WA GARI GHARAMA IYO...
0714 349 142 / 0762 178 477.
***************************************
KARIBU KIMOMWE MOTORS KWA UAGIZAJI MAGARI KUTOKA JAPAN.
KARIBU UPATE GARI ZA JUU KWA GHARAMA NAFUU KABISA . ZINAWEZA KUTUMIKA KATIKA BARABARA ZOZOTE ZILE NA NI GARI IMARA.
NJOO UJIPATIE NISSAN DUALIS, X-TRAIL, SUBARU FORESTER...
Inaitwa subaru impreza, gari imeinuka vizuri, muundoa mzuri, engine cc ndogo kukuwezesha kwenda umbali mrefu kwa mafuta machache, zipo zenye cc 1490-1500, ambazo ni sawa na engfine za toyota ist.
Kwa gharama ya kuanzia milioni 12 unapata kwa kuagiza kutoka japani apa kimomwe motors magomeni...
KARIBU KIMOMWE MOTORS KUPATA GARI KWA GHARAMA NAFUU KABISA, GARI AINA ZOTE ZA KUTEMBELEA, BIASHARA PAMOJA GARI ZA MIZIGO.
TUPO MAGOMENI MAPIPA JENGO LA RUBEYA GHOROFA YA KWANZA
NJOO JIPATIE TOYOTA IST KWA GHARAMA YA KUANZIA MILLION 10.5
TUPIGIE KWA NANMBA 0714349142/ 0762178477
Apo gharama za vitu ulivyoweka pamoja na gharama za ofisi kwa gari ndogo kama raum ni milion 1.5. na kitu kingine hiyo gari ulioweka imetembea kilometa nyingi sana sisi huwa tunamshauri mteja kuchagua angalau iliyotembea kilometa 80,000 kushuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.