Recent content by Emmanuel Mashack

  1. E

    JamiiForums Tanzania Fursa ya biashara: Tuungane kukuza biashara ya samaki_Mwanza samaki fresh

    Kuna namba hapa ya WhatsApp tunaweza kuwasiliana.. 0749 604421
  2. E

    JamiiForums Tanzania Fursa ya biashara: Tuungane kukuza biashara ya samaki_Mwanza samaki fresh

    0749 604421 WhatsApp no: iyo tunaweza kuoengea huko. Asante...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Fursa ya biashara: Tuungane kukuza biashara ya samaki_Mwanza samaki fresh

    Mbona bei ni za kawaida tu ndg tena ni elekezi kabisa.
  4. E

    JamiiForums Tanzania Fursa ya biashara: Tuungane kukuza biashara ya samaki_Mwanza samaki fresh

    Naitwa Emmanuel Mashack, ni kijana mjasiriamali niliyejikita kwenye biashara ya samaki kupitia mtandao, ninaendesha huduma ya Mwanza Samaki Fresh. Tunasambaza samaki aina ya Sato na Sangala kwa ubora wa hali ya juu moja kwa moja kutoka Ziwa Victoria. 👉Lengo langu: Kupanua wigo wa usambazaji kwa...
  5. E

    JamiiForums Tanzania Mwanza samaki fresh: Tunatafuta Ushirikiano wa Kibiashara kwa yeyote anayejihusisha na biashara ya samaki na yupo mikoani basi tuaweza kuwasiliana

    Asante, kwa ushauri ndg. Ila nadhani tungeandika kila kitu,, maelezo yangekua merefu sana, na pengine ingetia uvivu kusoma, ndo maana kuna namba hapa 0719941250, unaweza kutuuliza chochote kwa mawasiliano hayo.
  6. E

    JamiiForums Tanzania Mwanza samaki fresh: Tunatafuta Ushirikiano wa Kibiashara kwa yeyote anayejihusisha na biashara ya samaki na yupo mikoani basi tuaweza kuwasiliana

    Asante.. bei tunaweza kuongea vizuri wakati utakopo kuwa tayari,kwasababu mala nyingine huwa zinabadilika kulingana na upatikanaji wake.. tuwasiliane tu kwamba hii..0719941250,
  7. E

    JamiiForums Tanzania Mwanza samaki fresh: Tunatafuta Ushirikiano wa Kibiashara kwa yeyote anayejihusisha na biashara ya samaki na yupo mikoani basi tuaweza kuwasiliana

    Wapo na unaweza kupata bila shida yoyote kiongozi Hawa ndio walioganda au wakavu kama unavyosema wewe.
  8. E

    JamiiForums Tanzania Mwanza samaki fresh: Tunatafuta Ushirikiano wa Kibiashara kwa yeyote anayejihusisha na biashara ya samaki na yupo mikoani basi tuaweza kuwasiliana

    Ni kweli wakufungwa wapo wengi ila unaweza kusema unahitaji wa aina gani na utapata kukingana pendekezo lako. Hawa kwenye picha hapa chini ni sato wa asili pia wapo weng sana.
  9. E

    JamiiForums Tanzania Mwanza samaki fresh: Tunatafuta Ushirikiano wa Kibiashara kwa yeyote anayejihusisha na biashara ya samaki na yupo mikoani basi tuaweza kuwasiliana

    Sawa kiongozi picha zipo nyingi sana hawa ni sato wa asili sio wa kichina karibu sana
  10. E

    JamiiForums Tanzania Mwanza samaki fresh: Tunatafuta Ushirikiano wa Kibiashara kwa yeyote anayejihusisha na biashara ya samaki na yupo mikoani basi tuaweza kuwasiliana

    MWANZA SAMAKI FRESH: Tunatafuta Ushirikiano wa Kibiashara Habari ndugu wanajamii JF: Mimi ni Emmanuel Mashack, mwanzilishi wa biashara ya Mwanza Samaki Fresh, tunajishughulisha na uuzaji na usambazaji wa samaki fresh aina ya Sato na Sangara kutoka Mwanza kwenda mikoa mbalimbali Tanzania. Kwa...
Back
Top Bottom