Recent content by Emmanuel J Assenga

  1. E

    BOT wameniita kwenye aptitude

    Da!! Ugali wa moto na mbono huo hauna uyengu "uyengu kwa wale wanaharakati wa marangu sec 1992 kwa mzee kalikali ,mzee simba , babu doo!! rupepo mzee mashinaa na mwanamao watakueleza" Chunga ze deal uko mangi segadansa pafupi ukileta tofauti jombaaa
  2. E

    Joseph Sinde Warioba: Jiwe walilokikataa waashi

    Hakuna mwenye kutaka kuchangia mawazo ya busara kila mtu anataka kuonekana ni zaidi ya mwingine wakati wanatafuna mpunga wa kodi za walala hoi pasipo wananchi kutamua ni nguvu ya mvuja jasho mangi, hebu tujiulize ni vijiji vingapi havina umeme ,maji, zahanati, shule za hawali!!!? Hata wanafunzi...
Back
Top Bottom