Recent content by Emm1an985

  1. Emm1an985

    Ndoa inaelekea kunishinda

    Mbona sioni kosa la huyo ndugu yetu. Amekuheshimu mno. Ongea nae vizuri kwa utulivu na utii. Huyo ametubu na hawezi kurudia. Nakusihi Tena ongea nae kwa upendo hawezi kurudia. My take: Hajatenda kosa😀😀
Back
Top Bottom