Recent content by eminado

  1. E

    Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

    Dah pole sana mama kama hukuweza kukata kiu ndo hukati kiu tena kwani umesikia Wapi au ukaona Wapi magufuli ametoa njia ya jinsi ya kutatua kero za wananchi? Kila siku analalamikia mafisadi wakati hao mafisadi wote wanagombea ubunge kupitia chama chake Leo unataka ukatwe kiu msubiri mama...
  2. E

    NEC yakabidhi polisi majina ya watu 52,078 waliojiandikisha zaidi ya mara moja katika daftari

    Dah kama kuna watu kama wewe hata 20 Tanzania ndio maana haiendelei na haitoendelea kamwe pole sana
  3. E

    NEC yakabidhi polisi majina ya watu 52,078 waliojiandikisha zaidi ya mara moja katika daftari

    Hapa ndo tunapoirudisha nyuma nchi yetu kimaendeleo hawa watu hawakutakiwa kupelekwa gerezani maana wafungwa ni mzigo kwa nchi yetu hawa wapewe maeneo ya kufanya kaz ngumu kwa miezi yote mpaka hapo kifungo chao kitakapoisha watakaoenda kinyume ndo wafungwe hata accommodation ya hawa wafungwa...
  4. E

    Picha: Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Kikwete Akabidhi Wasanii Mashuhuri tuu Kadi za kujiunga na CCM

    mbona mlikuwa mnashangaa chopa zimetoka wapi ruzuku hizo zingekuwa zinaliwa wangeweza kutumia chopa hata moja??? usijitoe akili kwa mahaba yako na CCM Mbowe kukaa kimya sio mjinga anawajibu kwa vitendo endeleeni kumfatilia ye anawapiga bao.
  5. E

    Picha: Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Kikwete Akabidhi Wasanii Mashuhuri tuu Kadi za kujiunga na CCM

    "ukitaka kumuomba baba pesa msubiri akiwa na furaha" hii ndo janja ya wasanii hawa wasanii wanalalamika kila siku wamesahalika hawana haki zao bwana mkuu aliwaahidi mengi hewa leo eti wanaenda kumlaki au ule usemi nloanza nao ndo unatimia wamesubiri siku ya birthday ndio wamkumbushie duh akili...
Back
Top Bottom