Shida kwenye nchi yetu ni sera mbovu ya serikali kwenye elimu, shule zinajengwa ili wapate kura na sio wananchi wapate elimu Bora, ndo maana government schools ni mbovu, unaikuta shule Haina maabara na hata walimu hawapo, na unaikuta private watoto wanakaririshwa na kupewa majibu Kwa sababu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.