*UKWELI KUHUSU SAFU YA UONGOZI UDOM NA DHANA YA UDINI*
Chuo Kikuu cha Dodoma kimekuwa na idadi ndogo sana ya wafanyakazi waislamu ukilinganisha na wakristo. Lakini Pia Chuo hicho kimekuwa hakiishi kuomba vibali vya ajira utumishi kwaajili ya kujaza uhaba wa nafasi mbalimbali za wanafanyakazi...
*KADHIA MSIKITI UDOM YATUA IKULU*
Mheshimiwa Raisi John Magufuli amesema anatambua katika maeneo ya Vyuo Vikuu panastahili kujengwa Msikiti na Kanisa ili kusaidia kuwajenga kiimani wanafunzi wanaosoma katika vyuo hivyo.
Kauli hiyo imekata mzizi wa fitna ulioibua sintofahamu hivi karibuni Chuo...
*KADHIA NZIMA YA UDOM NA HAMISHA HAMISHA YA WAISLAMU KUMI NA MOJA (11)*
Hivi karibuni ujenzi wa Msikiti Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ulisitishwa na kisha kuvunjwa ukuta eneo la Msikiti.
Ubomoaji huo ulifanyika Januari 09, 2019, kisha ukafuatiwa na uhamisho wa watumishi 11, Januari 11, 2019...
MSIKITI WAVUNJWA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM), WAISLAM KUMI NA MOJA (11) WANATAALUMA NA WAENDESHAJI CHUO KIKUU CHA DODOMA WAHAMISHWA (Prof. Petter Msoffe) asimamia kikamilifu zoezi hilo
Tumepokea kwa Masikitiko makubwa sana uhamisho wa watumishi waislamu Chuo Kikuu cha Dodoma uliofanyika ijumaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.