Kiroba, ni nini je sio pombe. acha uchepuzi wa maneno domo kaya wewe uliyefilisiwa fikra na ccm. Ni akili kubwa tu zitakazochagua UKAWA ila ninyi ambao bado mnafikiri Tanzania ya leo ni ile aliyoiacha Nyerere basi endeleeni kuwa mtambo wa pesa kunenepesha mafisadi.
Ukiwa hujui chochote kuhusu mtu, si vyema ukaanza kutapika ovyo bali utulie usikilize wanaojua.
Hakuna dhambi isiyosameheka kwa Mungu, hivyo ujue hata Lowassa ikiwa alikosea kusema mambo ya bosi wake ni kwamba alitegemea kwamba boss atjirekebisha kwani ni vyema kuweka second chance kwa kila mtu...
Mkapa nilimuamini na kumheshimu kama Kiongozi bora kati ya wengi waliowahi kuwepo, lakini alichokifanya inanifanya nikubali kuwa UKAWA wapo sahihi kusema kwamba katika ccm hata angelishuka malika kutoka mbinguni baada ya muda angejikuta amekuwa SHETANI MKUBWA. haya yamedhihirika mapema...
Ni ukweli usiofichika kwamba CCM ilijitahidi kufanya nchi yetu itambulike wakati wa mzee wetu Nyerere lakini, hapa tulipofika inaonekana wazi kuwa chama kimepoteza dira yake. Ni busara sana kwa waliokuwa viongozi wake kukubali ukweli uliopo sasa na kisha kutafuta suluhisho na ikibidi wawaache na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.