Recent content by ema_nuel

  1. ema_nuel

    Mrejesho kuhusu Forex Trading: One step at a time, Safari ndio imeanza rasmi

    Yani ni blue screens tu zimetawala.. Haters njooni basi tuwapumzikie wakati huu tukiwa tushafunga hesabu zetu. Tujibizane mpaka saa sita hivi tunaobeti tukalale alaf kesho tuamke tupige ela tena alfu usiku kama huu tuwapumzikie tena[emoji23][emoji23][emoji23] maana ndo maisha mliochagua...
  2. ema_nuel

    Mrejesho kuhusu Forex Trading: One step at a time, Safari ndio imeanza rasmi

    Hahaha nilikua napitia huu uzi nimefika kwenye hii comment yako nahisi umeandika hii comment huku machozi yanakutoka[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] maana umejibu kinyonge kweli yani. Baada ya mtemi ONTARIO kutuma screen za blue na watu walivyodabo capital zao kwa siku moja. Yani huna tena...
  3. ema_nuel

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Yani mimi kinachonifurahisha ni kwamba hapa tulio serious na hii kitu tutazidi kupambana tuwa prove wrong hawa wachache wanaotaka kututoa kwenye reli.. Turn your haters into motivators!! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. ema_nuel

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Poa mkuu ni hilo tu tulikua tunasubiri.
  5. ema_nuel

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Kuna mambo unachanganya mkuu.. Leo GBP haijashuka against USD hasa hicho kipindi cha mchana unachokisema GBP ndo ilikua inapanda thamani na USD ikawa weak. Ni hivi mkuu naona katika kusoma kwako kuna mambo umeelewa kinyume, Huwa hatununui currency kama inashuka thamani na huwa hatuuzi currency...
  6. ema_nuel

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Inategemea hamna muda maalum. Kuna mambo mbalimbali yanayosababisha currency fulani kupanda au kushuka kwa kipindi fulani Mfano; mambo ya economy policy, political news and crisis, natural disasters na mengne mengi sana.. Nakushauri endelea kusoma maswali yako mengi majibu yake yapo kwenye...
  7. ema_nuel

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Safari imeiva sasa. Road trip, kama mtu alienda mpaka South Africa kufata knowledge zaidi ya mara moja sembuse mimi wa Tanzania humuhumu nishindwe kusafiri kuja Dar kweli. Ziwezi kufanya huu uzembe aisee. (talking to myself)
  8. ema_nuel

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Asante kwa taarifa mkuu. Road to financial freedom has indeed started.
  9. ema_nuel

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    May be watatuambia tukikutana nao class..[emoji39] au nadhani hawakutaka wakija huku wahangaike inshu za usafiri au kununua magari mengne so wakaamua kuja na yakwao and also for the sake of adventure. All in all we thank God wamefika salama. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. ema_nuel

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Yaah Mwalimu.. That's the post. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. ema_nuel

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Great news from cre.forex on IG.. Jamaa wamefika aisee hio road trip sio mchezo. Nimekaa hapa nasubiri uzi mpya tu nikakate ticket yangu na mimi road trip ianze[emoji4][emoji4] Sent using Jamii Forums mobile app
  12. ema_nuel

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Thanks Brother kwa taarifa, i guess i have few more days za kukaa huku.. Mungu awalinde wawezeshaji waliopo njiani wafike salama. Tuko pamoja mkuu.
  13. ema_nuel

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Asante kwa kujitokeza mkuu ONTARIO hasa muda huu ambao tunakuhitaji kupita kiasi. I will be waiting saa tatu kwa update nyingine. Only that update naisubiri nipack mabegi yangu mimi niliye mkoani.
Back
Top Bottom