Haya ndo majibu nilikuwa nahitaji kuyapata, asante kwa ufafanuzi ulionyooka na sijui ulichelewa wapi kunijibu mpaka najibiwa ovyo ovyo tu na small minded kazi kukasilika tu hata kama uelewa ni mdogo juu ya jambo lilliloulizwa siku nyingine wale wanaojibu tu ili mradi ni jibu tujue kuwa 'if you...
Asante kwa ufafanuzi mzuri, maana kuna watu humu hawajui hata kumjibu mtu nini kauliza wao nikuliza maswali na makasiliko yasiyo na tija kama mtu hajui atulie ili watu wanajua wenye ufahamu na kilichoulizwa wajibu. Asante
Ngoja tusubili tuone naamini mda
Unapaswa kuwa na uhakika ukiwa unajibu swali kusema ni sawa tu maana yake hauna uhakika na pia umejikita upande mmoja tu je vipi kuhusu MDAs nao ni halmashauri maana kuna LGAs na MDAs
Je kwa in-service anayetaka transfer kuwa chini ya MDAs kupitia ajira hizi unamshauri nini, maana mimi nimeulizwa ushauri kuhusu hili nikasema siijui vizuri MDAs na LGAs nikaishia kusema ingelikuwa wizara ya elimu wametangaza ningelimwambia aombe over Tamisemi lakini hii nimeshindwa kutoa...
Tujibu maswali yaliyo ulizwa kujibu swali kwa swali kunaweza kusilete maana mleta maada kauliza tofauti ya Tamisemi au wizara ya elimu vs MDAs au LGAs afu naye anaulizwa swali hilo hilo
Ushauri mzuri lakini nahitaji kujua huyu mwajiri anakupeleka kuwa mwalimu wa level ipi na pia kuna watu ambao ni in-service chini ya Tamisemi lakini wanahitaji kuomba hizo kazi je maslahi yakoje huko Isije ikawa wanataka kwenda chini tu badala ya kwenda juu.
1: wana JF naomba kuuliza kuhusu hizi ajira za ualimu zilizotangazwa kutoka kwa mwajiri ambaye ni MDAs na LGAs, je unaenda kufundisha wapi na level gani?
Pia
2: je kuna faida yeyote kwa mwalimu aliye chini ya Tamisemi kuomba kuhamia MDAs na LGAs
3: nini tofauti ya kufanya kazi Tamisemi au...
Naomba tujuzane kuhusu UHAMISHO status ina soma kama ambavyo mishale inavyoonyesha ni miezi saba sasa mwenye ufafanuzi juu ya hili.
Vipi pia kuhusu wewe uliyeomba transfer status yako ikoje kwenye mfumo huu, au kama kuna mtu amefanikiwa kuhama kupitia mfumo atupe uzoefu kidogo juu ya status hizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.