Nimepata usaidizi kutokana na swali lako kaka, me pia nimepatwa na hiyo shida sikujua nifanyeje. Baada ya kugeuza hizo settings za TCP/IP.Sasa nahitaji kutafuta WI-FI niweke opera mini na whatsapp
Galaxy ace ni njema kushinda galaxy pocket. Kwa camera yake ni mzuri zaidi kushinda pocket. Kama waweza pata Galaxy ace plus ndio mzuri zaidi maana ni updated version ya Galaxy ace.Memory na speed iko sawa kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.