Ukweli ni kuwa 150,000 haitoshi kabisa kupima na kupata hati, Mara nyingi wanawadanganya ili ukubali kupimiwa, wakikuambia mwanzon hadi upate hati ni Laki 5 utakimbia, ila ukishapata Ramani ya upimaji kwa laki na nusu, mbele mambo yanakuwa hivyo, na hiyo laki na nusu nyingine kama ni Dar haitoshi