naona uwelewa wako ni mdogo ndugu maana ungeelewa nilichoongea ungenijibu kama muelewa.... ila hongera kwa kulipwa na magufuli pia usisahau kumpa kura ya ndio tarehe 25/10/2015
nakushangaa sana unavyosema hayo na kushabikia mambo as if unalipwa..... kwan lowasa ametoka wapi kama co ccm unafkir yy co mwiz....? niseme kuwa huu ndio wakat tuliokua tuusubr wanamapinduz mafuta kujitenga na maji.... najivunia rais kikwete najivunia rais mtarajiwa Dr. jp Magufuli najivunia...
siasa co mapambano siasa ni sayans ya kichwa na uwezo wa kuchambua vtu.. hao wanaozomea hawaelewi ktu... maana kila mmoja anauhuru kuchagua na kupenda kile anachona bora kwake.. mapenz ya yule co ya walee....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.