Kaka rushwa nayo inategemea umempa Nani aisee chunga sana unaeza pigwa hela alafu ukakosa ajira. Habari ya rushwa usiiamini sana ndugu. Kuna Hawa jamaa wanasema leta laki 5 upate ajira kua makini. Habari ni interview kaka faulu upate
Yani usaili upo wakuu maana hamna tangazo la kusema tutachagua juu kwa juu watu waoga ndio wameleta sera hizo. Hapa inaonekana walim wataingia usaili na Hawa waalimu wa businesses walioanza kuaply hivi karibuni
Eti kunajamaa humu forum anasema ako na connection lakini hiyo connection inamuambia afaulu mtihani.sasa connection na kufaulu wapi na wapi ukiwa na connection inabidi hata kama umefeli upite
Interview zinakuja japokua ni ukweli mchungu ila wadau wa elimu mkubaliane nao haliwezekani watu wa afya wapige interview alaf mwalimu uajiriwe free noooo
Wale wazee wakufua mabegi December inayoyoma hii hakuna pdf wala nn. Yani ngoma ni March au April,kama umefua begi lichafue tuu maana gia ngumu inakuja
kama ni wewe ndugu umeambiwa upite written basi huna connection hapo una beti kama wengine maana ya connection ni kwamba hata ufeli written wewe ni uhakika hata upate 0 kama una connection unapita sasa unakua na connection inakuambia ufaulu written hiyo sio connection ndugu umetapeliwa. Ogopa sana
Mi nnachokijua ukiwa na connection inabidi hata kama umefeli written(interview) inakubidi upite si una connection bhana.kama hiyo connection haiwezi kukupitisha ukiwa umefeli basi hamna connection apo. Maana watu wanatafuta connection ili wapite by any means
Hizi habari za gpa ni kudanganyana coz hakuna tangazo lolote serikali imelitoa kuonyesha namna hiyo. Hivyo basi watu msiache kujiandaa na interview maana January ndio watatangaza interview ili walimu wakaripoti March. Maana mwaka ujao serikali haitoajiri Tena waalimu inataka hizi nafasi za mwaka...
Maana watu wanasema oooh wamechagua kulingana na gpa uliambiwa na Nani, utumishi hawaajiri bila interview. Leo tarehe 10 pdf bado mnaojidanganya kua mwezi huu wataachia mkeka amkeni usingizini
Naona walimu mmesahau kabisa suala la interview siku zinazidi kwenda wale wanaojifariji kwamba pdf itatoka mwezi huu keep in mind, wake up January 15 interview zitaanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.