Utangulizi
Ni ukweli kwamba wanafunzi wengi wanaomaliza kidato cha sita na wale wanaosomea fani vyuo vya kati na vyuo vya ufundi wamekuwa na ndoto kubwa za kufika elimu ya juu yaani chuo kikuu. Ndoto zao hukubwa na misukosuko huku wengine wakikatiza masomo yao pale changamoto zinapozidi uwezo...
Swala la rushwa ya ngono vyuo vikuu na vyuo vya kati ni jinamizi linalozidi kuitafuna jamii yetu kila uchwao. Rushwa ya ngono si neno geni wala habari mpya kwa wafuatiliaji wengi wa mitandao ya kijamii.
Takwimu zinaonesha takribani wahadhiri zaidi ya ishirini (20) wa vyuo vikuu Tanzania kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.