Recent content by eliji

  1. E

    JamiiForums Tanzania Mark 11 GX 110 engine 1G-FE vvti inatumia oil lita ngapi?

    Wakuu habari, Naomba kujua gari Aina ya mark 11 GX 110 engine 1G-FE vvti inatumia oil lita ngap maana wengine wanasema Lita 4 wengine lita5 na Mimi nimeweka lita4 nimeona kabisa ipo full kwenye stick mzoefu naomba anisaidie wakuu.
  2. E

    JamiiForums Tanzania Nichukue gari ipi kati ya Mark X na Brevis

    Wakuu, Naomba mtu mwenye uzoefu na mark 2 grand gx 110 kwenye ulaji wa mafuta na uimarawake
  3. E

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Kwahyo Gx 110 inakula mafuta Kuliko crown?
  4. E

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    [emoji1][emoji1][emoji1]
  5. E

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Habari wakuu, Naomba ushauri Wa Mark 11 grande GX 110 wanja yenye engine ya 1G beams 2000 ulaji wa mafuta na pia kama mtu anayo ya 2004 namba D iliyo nyooka tuwasiliane
  6. E

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa ulaji wa mafuta wa Mark 11 grande GX 110 wanja yenye engine ya 1G beams 2000

    Habari wakuu, Naomba ushauri Wa Mark 11 grande GX 110 wanja yenye engine ya 1G beams 2000 ulaji wa mafuta na pia kama mtu anayo ya 2004 namba D iliyo nyooka tuwasiliane
Back
Top Bottom